Alisi Ndani ya Nchi ya Ajabu: Alice's Adventures in Wonderland in Swahili - Carroll, Lewis (Christ Church College, Oxford) - Books - Evertype - 9781782011224 - August 15, 2015
In case cover and title do not match, the title is correct

Alisi Ndani ya Nchi ya Ajabu: Alice's Adventures in Wonderland in Swahili Abridged edition

Carroll, Lewis (Christ Church College, Oxford)

Price
€ 22.99

Ordered from remote warehouse

Expected delivery Oct 16 - 28
Add to your iMusic wish list

Alisi Ndani ya Nchi ya Ajabu: Alice's Adventures in Wonderland in Swahili Abridged edition

Publisher Marketing: Lewis Carroll ni jina la uandishi: Charles Lutwidge Dodgson ndilo jina halisi la mwandishi wa kitabu hiki, na alikuwa mhadhiri wa hisabati huko Christ Church, Oxford. Dodgson aliianza hadithi hii tarehe 4 Julai mwaka 1862, pale alipofanya matembezi katika mashua ya makasia huko Oxford katika mto Thames akiwa pamoja na Mchungaji Robinson Duckworth, Alice Liddell (aliyekuwa na miaka kumi), binti wa Mkuu wa kitivo huko Chirst Church, pamoja na dada zake wawili Lorina (aliyekuwa na miaka kumi na mitatu), na Edith (aliyekuwa na miaka minane). Kama inavyoonekana wazi katika shairi pale mwanzoni mwa kitabu, mabinti hawa watatu walimwomba Dodgson awahadithie hadithi, na kwa kusita sita akaanza kuwahadithia ile hadithi ya awali. Kiswahili ni lugha ya Kibantu inayozungumzwa huko Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC, Somalia na nchi nyingine zilizo jirani na nchi hizi za Afrika ya mashariki. Kiswahili kimekirimu tafsiri za kigeni kwa karne nyingi na pia tafsiri imekuwa na jukumu muhimu la kukuza lugha hii kisiasa, kijamii, kiuchumi na kiutamaduni. Pia katika karne ya 19, tafsiri ilikuwa ndiyo chanzo cha riwaya ndani ya fasihi ya Kiswahili, hivyo imeweza kuathiri waandishi muhimu. Tafsiri hii ni ya kifasihi zaidi, pia imelengea kiuaminifu zaidi hadithi ya awali. "Alisi" ilitafsiriwa kwa mara ya kwanza mwaka 1940 ambapo mfasiri alifupisha hadithi hiyo na kuiita "Elisi katika Nchi ya Ajabu." Pia alimgeuza mhusika mkuu kuwa mtoto wa Kiafrika aliyemwita Elisi. Hii tafsiri mpya iliyofanywa na Ida Hadjivayanis, imetolewa kama mojawapo ya kazi zinazosherehekea kuazimia kwa miaka 150 tangu kuchapishwa kwa toleo la kitabu hiki la mwaka 1865. Tafsiri hii itamwezesha msomaji wa 'Alisi' wa Kiswahili apate hisia zilizokusudiwa na mwandishi hapo awali. --- Lewis Carroll is a pen-name: Charles Lutwidge Dodgson was the author's real name and he was lecturer in Mathematics in Christ Church, Oxford. Dodgson began the story on 4 July 1862, when he took a journey in a rowing boat on the river Thames in Oxford together with the Reverend Robinson Duckworth, with Alice Liddell (ten years of age) the daughter of the Dean of Christ Church, and with her two sisters, Lorina (thirteen years of age), and Edith (eight years of age). As is clear from the poem at the beginning of the book, the three girls asked Dodgson for a story and reluctantly at first he began to tell the first version of the story to them. Swahili is a Bantu language that is largely spoken in Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC, Somalia and parts of many countries that neighbour these East African countries. Swahili has accommodated translation for centuries and it has played a vital role in the political, social, economic and cultural growth and development of the Swahili language. Translation was central to the formation of Swahili prose literature in the 19th century and also in influencing important Swahili writers. "Alice" was first translated in 1940 in an abridged edition called "Elisi katika Nchi ya Ajabu," which adapted Alice by making her a little African girl, Elisi. This new translation by Ida Hadjivayanis, made for the 150th anniversary of the publication of Alice in 1865, is a more literary translation, faithful to the original. This translation should offer the Swahili reader the 'Alice' experience that was originally intended by the author. Contributor Bio:  Carroll, Lewis Lewis Carroll was the pen name of Charles Lutwidge Dodgson, an English writer, mathematician, Anglican deacon, and photographer. Best known for his classics Alice s Adventures in Wonderland, Through the Looking Glass, and Jabberwocky, Carroll was also an accomplished inventor who created an early version of what is today known as Scrabble. The publication of Alice s Adventures in Wonderland in 1865 brought Carroll a certain level of fame, although he continued to supplement his income through his work as a mathematics tutor at Christ Church, Oxford College. Carroll s whimsical characters and nonsensical verse resonated with Victorian-era readers, and his books continue to be enjoyed by numerous modern societies dedicated to his promoting his works. Contributor Bio:  Tenniel, John Lewis Carroll (1832-1898), the pen name of Oxford mathematician, logician, photographer and author Charles Lutwidge Dodgson, is famous the world over for his fantastic classics Alice in Wonderland, Through the Looking Glass, The Hunting of the Snark, Jabberwocky, and Sylvie and Bruno.

Media Books     Paperback Book   (Book with soft cover and glued back)
Released August 15, 2015
ISBN13 9781782011224
Publishers Evertype
Pages 160
Dimensions 140 × 218 × 15 mm   ·   224 g
Language Swahili  
Translator Hadjivayanis, Ida

Show all

More by Carroll, Lewis (Christ Church College, Oxford)

Others have also bought